0
Ni kama utaniuliza picha gani iliyovunja internet au kushikilia headlines za internet kwa saa kadhaa April 7 2015 Tanzania, jibu lake litakua ni hii picha ya msanii wa bongoflevaNay wa Mitego na mwigizaji wa bongo movie Shamsa Ford.

Majibu ya Nay wa Mitego kuhusu hii picha ni kwamba ni movie ndio inachezwa ambapo kama kweli ni movie basi hii ndio itakua movie ya kwanza sisi tulio wengi kumuona Nay wa Mitego.

Wawili hawa wametajwa kuwepo mapenzini kwa kiasi kikubwa siku za karibuni ambapo Shamsa ambaye aliingia kwenye headlines za Magazeti baada ya kuachana na mume wake, amepost picha mbili ndani ya siku tano zilizopita akiwa kwenye Gym ya Nay wa Mitego.
Kwenye hii picha ya juu hakuandika chochote kama caption ila hii picha ya chini mrembo huyu aliandika >>> ‘On Set‘ yaani ni kwenye utengenezaji wa movie.

Post a Comment

 
Top